Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti, 2023

BANDA LA WIZARA YA FEDHA: SHAMRASHAMRA ZA MAADHIMISHO YA SIKU YA NANE NANE JIJINI MBEYA

Picha
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bw. Elijah Mwandumbya (kushoto), akisaini kitabu cha wageni, alipotembelea Banda la Wizara ya Fedha katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nane Nane, yanayofikia kilele leo katika Viwanja vya John Mwakangale, jijini Mbeya, yaliyobeba kaulimbiu ya “Vijana na Wanawake ndio Msingi Imara wa Mifumo Endelevu ya Chakula Tanzania”. Kulia ni Katibu Muhtasi wa Wizara hiyo, Bi. Masia Msuya Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Fedha, Bw. Elijah Mwandumbya (kushoto), akisikiliza kwa umakini maelezo yaliyokuwa yanaotolewa na Mchumi kutoka Idara ya Usimamizi wa Madeni, Bi. Gloria Mduda (kulia), kuhusu mwamko wa wananchi waliotembelea meza ya idara hiyo, kujifunza kuhusu Deni la Taifa, alipotembelea Banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo Nane Nane, yanayofikia kilele leo katika Viwanja vya John Mwakangale, jijini Mbeya, yaliyobeba kaulimbiu ya “Vijana na Wanawake ndio Msingi Imara wa Mifumo Endelevu ya Chakula Tanzania”. Naibu Katibu Mkuu wa Wizara

BARAZA LA SIASA TANZANIA LAWAKUTANISHA WANASIASA, VIONGOZI WA DINI KUJADILI HALI YA KISIASA NCHINI

Picha
  Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa, Ahmed Ally Akiteta j Mrajisi wa Asasi za Kirai Zanzibar, Mohamed  Abdallah  pamoja na mjumbe mwalikwa kutoka asasi ya kiraia YPC, Martine Mang’ong’o mara baada ya kumaliza Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam  tarehe 1 Agosti 2023. (Picha na: ORPP) Msajili wa Vyama vya Saisa, Jaji Francis Mutungi akiteta jambo na Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi Kabwe mara baada ya kumaliza Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam  tarehe 1 Agosti 2023. Mwakilishi wa Chama cha NCCR Mageuzi, Joseph Selasini akichangia mada wakati wa Mkutano Maalum wa Baraza la Vyama vya Siasa uliofanyika katika Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Julius Nyerere (JNICC) jijini Dar es Salaam  tarehe 1 Agosti 2023. Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo, Zitto Zuberi