RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKIWA KWENYE MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI YA MAFUTA YA TAIFA YA UMOJA WA FALME ZA KIARABU (UAE) ENOC LLC, BW. SAIF AL FALASI ALIYEAMBATANA NA UJUMBE WAKE IKULU JIJINI DAR TAREHE 28 JANUARI, 2023.







 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akiwa kwenye mazungumzo na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Mafuta ya Taifa ya Umoja wa Falme za Kiarabu (UAE) ENOC LLC, Bw. Saif Al Falasi aliyeambatana na ujumbe wake Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 28 Januari, 2023. 

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Wizara ya Nishati tarehe 27 Januari, 2023 walisaini Mkataba wa makubaliano (Memorandum of Understanding) na Kampuni hiyo ya ENOC LLC kuhusu Ujenzi wa Kitovu cha Mafuta (Fuel Hub) hapa nchini

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii