MAMLAKA YA MAWASILIANO TANZANIA (TCRA) IMETOA ELIMU KUHUSU MATUMIZI SALAMA YA MTANDAO

Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania (TCRA) imetoa elimu kuhusu matumizi salama ya  mtandaokwa  vijana wa ushirika wa Nibadilishe Foundation @the_changers_19 kutoka jijini Dar es Salaam, Tarehe 19 Oktoba, 2022. Semina hiyo pamoja na ajenda nyingine, imehusisha uhamasishaji wa matumizi salama ya mtandao kwa namna ambayo vijana wanaweza kunufaika na kukua kiuchumi.













Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MJI WA KILWA KISIWANI ULIVYOBEBA HISTORIA YA MATAIFA MBALIMBALI

RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA KIMATAIFA YA PHILIP MORRIS GREGOIRE VERDEAUX IKULU CHAMWINO MKOANI DODOMA