EWURA INATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA EACOP

Menejimenti ya EWURA na ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mafuta Uganda (PAU) wakiwa Eneo Huru (No man’s Land) katika mpaka wa Tanzania na Uganda (Mutukula) eneo liltakapo pita bomba la kusafirisha mafuta ghafi kwenda Chongoliani, Tanga, Tarehe 15.8.2022

Timu ya EWURA eneo litakalopita Bomba kutoka Uganda kwenda Tanga. Hapa ni Kyaka- Misenyi

Mkurugenzi Mtendaji wa EACOP, Martin Tiffen akionyesha Ramani Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Mha. Modestus Lumato

Mkurugenzi Mtendaji wa EACOP, Martin Tiffen( wa pili kushoto) akionesha Timu ya EWURA eneo litakalopita Bomba kutoka Uganda kwenda Tanga. Hapa ni Kyaka- Misenyi





 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MJI WA KILWA KISIWANI ULIVYOBEBA HISTORIA YA MATAIFA MBALIMBALI

RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA KIMATAIFA YA PHILIP MORRIS GREGOIRE VERDEAUX IKULU CHAMWINO MKOANI DODOMA