KIGOMA KUTUMIA UMEME WA GRIDI YA TAIFA IFIKAPO AGOSTI 2022



Mashine umba tatu zitakazotumika katika Kituo cha Kupoza na Kusambaza Umeme cha Nyakanazi, kwa ajili ya kusabaza umeme wa Gridi ya Taifa katika Mkoa wa Kigoma na mikoa jirani. Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba alifanya ziara ya kukagua kituo cha hicho na njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo, Julai 6, 2022, mkoani Kagera


Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na wafanyakazi wa kituo cha Nyakanazi, Makampuni ya Wakandarasi waliojenga kituo hicho, Mameneja wa Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) katika Mikoa ya Kanda ya Ziwa, wakati wa ziara ya kukagua kituo cha hicho na njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa RUSUMO hadi kituo cha Nyakanazi, Julai 6, 2022, mkoani Kagera

Kazi ya uvutaji wa nyaya za umeme ukiendelea katika nguzo zitazotumika kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo hadi Kituo cha Umeme cha Nyakanazi, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba alifanya ziara ya kukagua kituo cha hicho na njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo, Julai 6, 2022, mkoani Kagera.


Mafundi wakiendelea na Kazi ya kusimamisha nguzo za umeme zitazotumika kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo hadi Kituo cha Umeme cha Nyakanazi, Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba alifanya ziara ya kukagua kituo cha hicho na njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo, Julai 6, 2022, mkoani Kagera.


Katibu Mkuu Wizara ya Nishati, Mhandisi Felchesmi Mramba (wapili kulia) pamoja na ujumbe alioambata nao akiangalia kazi ya usimamishaji wa nguzo za umeme zitazotumika kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo hadi Kituo cha Umeme cha Nyakanazi, wakati wa ziara ya kukagua kituo cha hicho na njia ya kusafirisha umeme kutoka Mradi wa Rusumo, Julai 6, 2022, mkoani Kagera

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii

MJI WA KILWA KISIWANI ULIVYOBEBA HISTORIA YA MATAIFA MBALIMBALI

RAIS MHE. SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA KUZUNGUMZA NA MAKAMU WA RAIS WA KAMPUNI YA KIMATAIFA YA PHILIP MORRIS GREGOIRE VERDEAUX IKULU CHAMWINO MKOANI DODOMA