RAIS WA ZANZIBAR MHE.DK.HUSSEIN ALI MWINYI AZINDUA RIPOTI YA MAHITAJI YA MAHAKAMA ZANZIBAR NA UZINDUZI WA OFISI ZA WATETEZI WA HAKI ZA BINADAMU ZANZIBAR KATIKA UKUMBI WA GOLDEN TULIP ZANZIBAR


RAIS wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi akihutubia katika hafla ya Uzinduzi wa Ripoti ya Mahitaji ya Mfumo wa Mahakama Zanzibar na Uzinduzi wa Ofisi ya Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Zanzibar, uzinduzi huo uliyofanyika katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip Uwanja wa Ndege Kiembesamaki Wilaya ya Magharibi “B” Unguja  tarehe 17-9-2022.(Picha na Ikulu)


 

Maoni

Machapisho maarufu kutoka blogu hii