Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Agosti, 2022

EWURA INATEMBELEA MRADI WA UJENZI WA BOMBA LA EACOP

Picha
Menejimenti ya EWURA na ya Mamlaka ya Udhibiti wa Mafuta Uganda (PAU) wakiwa Eneo Huru (No man’s Land) katika mpaka wa Tanzania na Uganda (Mutukula) eneo liltakapo pita bomba la kusafirisha mafuta ghafi kwenda Chongoliani, Tanga, Tarehe 15.8.2022 Timu ya EWURA eneo litakalopita Bomba kutoka Uganda kwenda Tanga. Hapa ni Kyaka- Misenyi Mkurugenzi Mtendaji wa EACOP, Martin Tiffen akionyesha Ramani Kulia kwake ni Mkurugenzi Mkuu wa EWURA, Mha. Modestus Lumato Mkurugenzi Mtendaji wa EACOP, Martin Tiffen( wa pili kushoto) akionesha Timu ya EWURA eneo litakalopita Bomba kutoka Uganda kwenda Tanga. Hapa ni Kyaka- Misenyi  

MHE. RAIS SAMIA SULUHU HASSAN AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA MKOANI IRINGA

Picha
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akisalimiana na Wananchi wa Mkoa wa Iringa alipowasili katika Uwanja wa CCM Samora kwa ajili ya kuhutubia Mkutano wa Hadhara tarehe 12 Agosti, 2022.    Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan akizungumza na Wananchi wa Mkoa wa Iringa kwenye Mkutano wa Hadhara uliofanyika katika Uwanja wa CCM Samora tarehe 12 Agosti, 2022.  

OFISI YA WAKILI MKUU WA SERIKALI ZINGATIENI MASLAHI MAPANA YA NCHI

Picha
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damasi Ndumbaro (Mb) akizungumza na Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali (hawapo pichani) wakati wa kikao chake cha kujadili utekelezaji wa majukumu ya Ofisi hiyo kilichofanyika jijini Dar es Salaam Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Dkt. Boniphace Luhende (aliyesimama) akiwasilisha taarifa ya utekelezaji ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali kwa Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damas D. Ndumbaro (aliyevaa miwani) wakati wa kikao cha Waziri huyo na Menejimenti ya Ofisi hiyo kilichofanyika jijini Dar es Salaam Waziri wa Katiba na Sheria Mhe. Dkt. Damasi Ndumbaro (Mb) (aliyesimama mbele katikati) akiwa kwenye picha ya pamoja na Menejimenti ya Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali baada ya kikao kazi na Ofisi hiyo kilichofanyika jijini Dar es Salaam Baadhi ya Wakurugenzi kutoka Wizara ya Katiba na Sheria na Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali wakimsikiliza Waziri wa Katiba na Sheria Dkt Damasi Ndumbaro (aliyeketi mbele meza kuu) wakati wa kikao cha kuj