Machapisho

Inaonyesha machapisho kuanzia Desemba, 2020

SHERIA, MWENENDO WA MASHAURI NA HUKUMU ZIANDIKWE KWA LUGHA YA KISWAHILI-DKT MWIGULU NCHEMBA

Picha
Waziri wa katiba na Sheria Mhe Dkt. Mwigulu Nchemba akisisitiza jambo wakati akizungumza na Menejimenti ya Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo Tanzania (Law School of Tanzania)  wakati akiwa katika siku ya pili ya ziara ya kikazi Jijini Dar es salaam tarehe 22 Disemba 2020. (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Katiba na Sheria) Waziri wa katiba na Sheria Mhe Dkt. Mwigulu Nchemba akisisitiza jambo wakati akizungumza na Menejimenti ya Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo Tanzania (Law School of Tanzania)  wakati akiwa katika siku ya pili ya ziara ya kikazi Jijini Dar es salaam tarehe 22 Disemba 2020. Waziri wa katiba na Sheria Mhe Dkt. Mwigulu Nchemba akikagua maabara ya Taasisi ya mafunzo ya uanasheria kwa vitendo Tanzania (Law School of Tanzania)  wakati akiwa katika siku ya pili ya ziara ya kikazi Jijini Dar es salaam tarehe 22 Disemba 2020. Naibu Waziri wa katiba na Sheria Mhe Geofrey Mizengo Pinda akisisitiza jambo wakati akizungumza na Menejimenti ya Taasisi ya
Picha
Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Dkt. Mwigulu Nchemba akisisitiza jambo wakati akizungumza kwenye kikao kazi na Menejimenti ya Mahakama akiwa katika siku ya tatu ya ziara ya kikazi  Jijini Dar es salaam, Leo tarehe 23 Disemba 2020.  (Picha Zote Na Mathias Canal, Wizara ya Katiba na Sheria) Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Dkt. Mwigulu Nchemba (Wa Pili kulia) akiwa katika picha ya pamoja na  Jaji Mkuu wa Tanzania Mhe Jaji Prof. Ibrahim Khamis Juma (Wa Pili Kushoto), Naibu Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Geofrey Mizengo Pinda (Kushoto) na Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Mhe Jaji Dkt. Eliezer Mbuki Feleshi (Kulia)  mara baada ya kufanya mazungumzo na Menejimenti ya Mahakama akiwa katika siku ya tatu ya ziara ya kikazi Jijini Dar es salaam, Leo tarehe 23 Disemba 2020. Katibu Mkuu Wizara ya Katiba na Sheria Prof Sifuni Ernest Mchome akifuatilia hotuba Waziri wa Katiba na Sheria Mhe Dkt. Mwigulu Nchemba akisisitiza jambo wakati akizungumza kwenye kikao kazi na Menejimenti ya Mahakama a

UKIRI WA KITAIFA NCHI HII NI TAJIRI

Picha