UTEUZI WA WANACHAMA WA CCM WATAKAOGOMBEA NAFASI ZA UBUNGE NA UJUMBE WA BARAZA LA WAWAKILISHI KWA MAJIMBO NA VITI MAALUM
TAARIFA KWA UMMA Chama Cha Mapinduzi (CCM), kinapenda kuwajulisha wanachama wake na umma wa Watanzania kuwa, Halmashauri Kuu ya CCM Taifa (NEC) katika kikao chake cha tarehe 23 Agosti, 2025 imefikira na kufanya uteuzi wa mwisho wa majina ya wanachama wanaoomba nafasi za Ubunge na majina ya wanachama wanaoomba nafasi ya Ujumbe wa Baraza la Wawakilishi kwa majimbo na Viti Maalum. Majina ya walioteuliwa ni kama ifuatavyo:- MKOA WA ARUSHA 1. Ndg. Paul Chrisant MAKONDA Arusha Mjini 2. Dkt. Johannes Lembulung’ LUKUMAY Arumeru Magharibi 3. Ndugu Daniel Awack TLEMAH Karatu 4. Dkt. Steven Lemomo KIRUSWA Longido 5. Ndugu Joshua NASSARI Arumeru Mashariki 6. Ndugu Isack COPRIAO Monduli 7. Ndugu Yannick Ikayo NDOINYO Ngorongoro DAR ES SALAAM 1. Ndugu Haran Nyakisa SANGA Kigamboni 2. Ndugu Angellah Jasmine MBELWA KAIRUKI Kibamba 3. Prof. Alexander Kitila MKUMBO Ubun...